Afrika Kusini: Vurugu zimeendelea, idadi ya vifo ikiongezeka hadi watu 45 > Mahojiano/ Hali halisi ya mambo nchini Ethiopia/ Congo: Madaktari wako kwenye mgomo/ Iraq. Watu 92 wamefariki na wengine zaidi ya 100 wamejeruhiwa kufuatia mkasa wa moto uliotokea kwenye hospitali inayowahuhudia wagonjwa wa Covid-19/ UNHCR yahofia kwamba Waafghanistan zaidi wataikimbia nchi yao