Vikosi vya Ukraine vimefanikiwa kuchukua tena udhibiti katika miji na vijiji kadhaa+++ Maelfu ya Waafghanistan walioikimbia nchi yao baada ya Taliban kutwaa kwa nguvu madaraka,wanaishi maisha mapya nje ya nchi yao lakini pia wanakabiliwa na changamoto mpya huko walikokimbilia+++Je, unajua ni kwanini binadamu hupenda kula nyama?.