1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

13.05.2021 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S13 Mei 2021

Jeshi la israel limesema kuwa Palestina sasa imeirushia Israel zaidi ya maroketi 1,600 kutoka Gaza// Mufti wa Uganda Sheikh Shaban Ramadhan Mubajje ametoa mwito kwa rais Museveni kuwachia bila masharti yoyote watu wanaodaiwa kuwa wafungwa wa kisiasa waliokamatwa// Ghasia baina ya vikundi viwili vya waislam imejitokeza leo mjini Kinshasa na kusababisha kifo cha polisi moja//

https://p.dw.com/p/3tLqJ