Umoja wa Falme za Kiarabu na Ujerumani zasaini tamko la kuimairisha ushirikiano wa kibiashara // Muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudia waapa kujibu shambulizi la waHouthi kwenye uwanja wa ndege wa Saudia // Na Waziri Mkuu wa Japan Shinzo Abe aonya kuhusu kuzuka vita katika eneo la Mashariki ya Kati