Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Haiti inajitayarisha kwa serikali mpya siku moja baada ya waziri mkuu Ariel Henry kutangaza kuwa anajiuzulu kufuatia shinikizo lililotokana na kusambaa kwa wimbi la vurugu za magenge ya wahalifu/ Jeshi la Sudan limechukua udhibiti wa makao makuu ya shirika la utangazaji la serikali kutoka kwa wanamgambo wa RSF