Mataifa matano raia wake waliofariki katika ajali kukutana/ Heiko Maas aionya Iran kuhusu mizozo ya kikanda/ Ujerumani inapanga kufanya mkutano wa kilele tarehe 19 Januari, unaonuiwa kufungua njia ya amani nchini Libya/ Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, Chadema, kimesema hakitaususia uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika baadae mwaka huu, kwa kuwa kina azma ya kushika dola