Mgawanyiko wazuka ndani ya upinzani nchini DRC/ Tanzania: Sakata mashuhuri la korosho limengia kwenye hatua nyengine baada ya Rais Magufuli kuamua rasmi kuwa serikali yake itazinunua korosho zote kutoka kwa wakulima moja kwa moja na jeshi litafanya kazi ya ukusanyaji> Mahojiano/ Mkutano wa kilele wa kuleta amani Libya waanza/ Maoni: Miaka 100 baada ya Vita Vikuu II, yaliyopita bado ni ndwele