SiasaKimataifa12.10.2020 - Matangazo ya Asubuhi To play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaKimataifaTSA / S08S12.10.202012 Oktoba 2020Umoja wa Ulaya umesema una wasiwasi na mapigano mapya kati ya Armenia na Azerbaijan. Uturuki imetangaza mpango wa kutuma tena meli ya utafiit kwenye eneo la mzozo na Ugiriki. Waandamanaji kadhaa wamekamatwa nchini Belarus. https://p.dw.com/p/3jlzKMatangazo