Maas: Lebanon inahitjaji serikali inayoweza kupambana na rushwa na kufanya mageuzi/ Chanjo ya Urusi dhidi ya COVID-19 yatiliwa shaka/ Tanzania: Mashirika ya kutetea haki za wanawake yameitaka NEC na vyombo vya dola kuchukua hatua kali za kisheria kwa wote watakaotoa na kutengeneza mazingira ya rushwa/ Serikali ya Rwanda imeilamu Burundi kuendelea kuufanya mzozo wa nchi hizo mbili kuwa tata zaidi/