Maelfu ya waandamanaji wamiminika Hong Kong kupinga mswada wa kupelekwa watuhumia China bara kufunguliwa mashitaka // Jeshi la Sudan na makundi ya upinzani wakubaliana kuanza tena mazungumzo ya kuunda baraza la mpito // Na Iran yamuachia huru mfanyabiashara wa Lebanon aliyetuhumiwa kuwa jasusi wa Marekani