Sudan: Wanajeshi na upinzani kuanza tena mazungumzo/ Zitto Kabwe anasema atazishitaki mamlaka visiwani Zanzibar kwa kumkamata na kumzuilia kusafiri kinyume cha sheria hapo jana, wakati akiwa njiani kuelekea Mombasa nchini Kenya/ Kanisa la Kianglikana nchini Kenya limepiga marufuku wanasiasa kuhutubia waumini kwenye madhabahu/ Leo ni siku ya kupambana na ajira kwa watoto ulimwenguni