Ulimwengu bado unashuhudia kuwepo kwa mkwamo kuhusu suala la Nyuklia la Korea Kaskazini ikiwa ni mwaka mmoja sasa tangu ulipofanyika kwa mara ya kwanza mkutano wa kilele kati ya Trump na Kim Jong Un/ Kenya: Wajasiriamali katika soko kubwa la Afrika Mashariki na Kati la Gikomba jijini Nairobi wamepata washindani wapya- Wachina