Mkutano wa kilele kati ya rais Trump na Kim Jong Un/ Zaidi ya watu 920,000 wamegeuka wakimbizi wa ndani nchini Syria wakati wa miezi minne ya kwanza ya mwaka huu 2018/ Arusha: Mkutano kilele wa sharia na mahakama unaolenga kuzungumzia suala la haki jinsia/ UN: Msaada kwa watoto waliokuwa wanajeshi zamani ni msingi muhimu sana katika kuwarejesha haraka katika maisha ya kawaida