Rais wa Uganda Yoweri Museveni anaapishwa hii leo kwa muhula mwingine wa miaka mitano// Jeshi nchini Myanmar limeshakaa madarakani siku 100,tangu lilipoipindua madarakani serikali iliyochaguliwa na wananchi ya Aung San Suu Kyi// Hali ya janga kubwa la kiafya nchini India imeitia dosari sifa ya waziri mkuu Narendra Modi.