Umoja wa Mataifa wathibitisha waasi wa Houthi wameanza kuondoka katika bandari tatu muhimu nchini Yemen // China na Marekani zatoa taarifa zinazokinzana juu ya mazungumzo ya biashara // Na Kiongozi wa upinzani Venezuela Juan Guaido ataka ushirikiano na jeshi la Marekani kumuongezea mbinyo Maduro