Maelfu ya waandamanaji nchini Sudan wameweka kambi nje ya wizara ya ulinzi mjini Khartoum kushinikiza iundwe serikali ya kiraia// Kiongozi mkuu wa Kanisa Katoliki Papa Francis jana alionesha kitendo cha aina yake kuwahi kushuhudiwa katika historia ya karibuni ya uongozi wa kanisa// Kiasi cha watu 75 wameuawa katika kipindi cha wiki moja cha makabiliano yanayoendelea nchini Libya.