Suala la kuwepo au kutokuwepo ugonjwa wa COVID-19 nchini Tanzania linaendelea kutawala nchini humo, licha ya serikali kuwataka raia wake wasiwe na hofu kwa sababu ugonjwa huo umedhibitiwa// Hii leo nchi wanachama wa Mahakama ya Uhalifu -ICC inamchagua mwendesha mashtaka mkuu wa taasisi hiyo ya kimataifa kuchukua nafasi ya Fatou Bensouda.