Nchini Tanzania joto la kisiasa kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa linazidi kupanda> Mahojiano/ Rais Tshisekedi alikamilisha ziara ya siku mbili nchini Uganda/ Shirika la ukadiriaji ubora wa bidhaa nchini Kenya limezipiga marufuku kampuni tano za kuuza unga kwa kuingiza unga wa sembe usio viwango/ Uhispania yachagua bunge jipya kwa mara ya pili mwaka huu