Uingereza- Mkutano wa G7 kufunguliwa mjini Cornwall+++Ufaransa kumaliza shughuli za kijeshi katika eneo la Sahel+++Tanzania- Mkuu wa Mkoa Albert Chalamila atenguliwa+++UN: Watu wapatao 350,000 katika jimbo la Tigray nchini Ethiopia wanakabiliwa na kitisho kikubwa cha njaa+++Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, watu 5 wamejeruhiwa na nyumba zaidi ya 300 kuharibiwa na matetemeko mawili ya ardhi.