1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

11.03.2026 Matangazo ya Asubuhi

DIRA.BZ11 Machi 2026

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Jeshi la Israeli IDF limesema kwamba limegundua makombora yakielekea nchini kutokea Iran na lilikuwa limeuwasha mfumo wa ulinzi wa anga / Bajeti mpya ya ikulu ya Kenya imeanza kufuatiliwa tena kwa karibu baada ya makadirio ya ziada kufikia karibu shilingi bilioni 16.9 sawa na dola za Kimarekani milioni 130 kutoka Shilingi bilioni 8.6 za Kenya

https://p.dw.com/p/5A95T
Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Symbolbild Deutsche Welle Logo
Picha: Marius Becker/dpa/picture alliance

Matangazo ya Asubuhi, saa 12:08 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Asubuhi, saa 12:08 (Afrika Mashariki)