Kansela Angela Merkel amehimiza tahadhari dhidi ya aina mpya ya virusi vya corona ambavyo tayari viko Ujerumani// DR Congo: Wito watolewa wa kufunguliwa kwa kesi ya mauaji ya Floribert Chebeya// Mpango wa kuchangia damu umezinduliwa rasmi nchini Kenya kwa mwaka huu// Biden atangaza vikwazo dhidi ya viongozi wa kijeshi Myanmar.