1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

11.01.2019 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S11 Januari 2019

Viongozi wa jumuiya za kimataifa wameendelea kuzungumzia lakini kwa uangalifu mkubwa matokeo ya uchaguzi wa uraisi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yaliyotangazwa mapema jana//Kansela wa Ujerumani Angela Merkel amemsifu waziri mkuu wa Ugiriki Alexis Tsipras

https://p.dw.com/p/3BQ2y