Kikao cha kwanza cha bunge la 12 la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kimeanza leo mjini Dodoma// Trump awazuia wafanyikazi wa Ikulu kutoa ushirikiano kwa Biden// Armenia na Azerbaijan zimetangaza mapema leo makubaliano ya kusitisha mapigano kuhusu mkoa wa Nagorno-Karabakh ulioko Azerbaijan chini ya muafaka uliotiwa saini na Urusi.