Wanaharakati wa haki za binadamu nchini Kenya wanadai haki kwa wahanga wa mashambulizi ya Laikipia+++Umoja wa Afrika umeisimamisha uanachama Guinea kufuatia jeshi kuipindua serikali ya rais Alpha Condé+++Leo ni siku ya kimataifa ya kuzuia watu kujiua+++Mataifa 10 yanashiriki katika mazoezi ya kijeshi ya kimkakati leo Septemba 10 katika vituo vinne vya mafunzo huko Belarus na vinane nchini Urusi.