Waasi 10 wauwawa mashariki mwa Kongo/ Polisi wa Israel na Wapalestina wapambana tena/ Changamoto za kiusalama zinazoikabili Nigeria zimeibua hasira na wito wa kumtaka Rais Buhari aachie madaraka au aondolewe ofisini/ Changamoto za kiusalama zinazoikabili Nigeria zimeibua hasira na wito wa kumtaka Rais Muhammadu Buhari aachie madaraka au aondolewe ofisini