Vital Kamerhe, mkuu wa wa ofisi ya Rais Felix Tshisekedi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ameshikiliwa tangu jana jioni katika gereza kuu la Makala mjini Kinshasa// Chama cha NCCR Mageuzi kimewapokea waliokuwa wanachama na viongozi wa chama cha ACT Wazalendo// Tanzania- Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA) kimeitahadharisha jamii juu ya ongezeko la ukatili wa wanawake na watoto.