Miripuko yaitikisa Afghanistan wakati mahasimu wakijiapisha/ SIPRI: Marekani ndio kinara wa uuzaji silaha ulimwenguni/ Leo hii imetimia miaka miwili tangu, Rais Kenyatta na Odinga kuzizika siasa zao za uhasama na kujikita katika jitihada za kuijenga Kenya moja> Mahojiano/ Jeshi la Uganda limekanusha madai kuwa watu walioshambulia mji wa Zombo Kaskazini Magharibi mwishoni mwa wiki walikuwa waasi