Tunisia imeingia katika mkwamo wa kisiasa baada ya uchaguzi wa bunge/ Idadi ya wakimbizi wanaoingia Ugiriki inazidi kuongezeka na hali ya maisha ni ya dhiki kupita kiasi/ Kanisa katoliki nchini Kenya limezindua kampeni kupambana na ufisadi kwa kuridhia michango isiyokuwa ya pesa taslimu/ Kwa mara ya kwanza Rwanda imekifungua kiwanda chake cha kwanza cha kutengeneza simu za kisasa za mkononi