Siasa08.05.2020 - Taarifa ya Habari za Asubuhi To play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaV2 / S12S08.05.20208 Mei 2020Umoja wa Mataifa umetoa wito wa kuchangishwa dola bilioni 6.7 kuyasaidia mataifa masikini. Kansela Angela Merkel amezungumza na Papa Francis kuhusu janga la virusi vya corona. Waziri Mkuu wa Lesotho amerejea nia yake ya kuondoa madarakani https://p.dw.com/p/3bvCmMatangazo