Benki ya Afrika ya Maendeleo imechapisha matarajio kwa uchumi wa Afrika mnamo mwaka huu wa 2019// Makamu wa rais wa Kenya, William Ruto ameelezea kuhusu miito ya kura ya maoni ya mabadiliko ya katiba nchini Kenya kufuatia changamoto mbalimbali na hususan zinazozikabili serikali za kaunti