Rais wa Malawi Lazarus Chakwera yuko nchini Tanazania kwa ziara ya siku tatu kuimarisha uhusiano baina ya nchi yake na Tanzania/ Kenya- Hakimu mkuu wa Nairobi Francis Andayi amewakuta wawili kwa kushiriki kikamilifu katika mshabulizi ya Septemba 2013/ Zanzibar- viongozi wa dini leo wameandaa kongamano la kujadili amani na kuliombea taifa ili uchaguzi huo ufanyike kwa njia ya usalama.