Somalia imetangaza kuwa inarejesha uhusiano wake wa kidiplomasia na Kenya// Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, gavana wa mkoa wa Tanganyika, Zoé Kabila ambaye ni mdogo wake rais wa zamani Joseph Kabila// Duru ya nne ya mazungumzo ya mpango wa nyuklia kuanza Vienna// Ujerumani yapinga kuondoa ulinzi wa hatimiliki za chanjo.