Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo amezungumza na wazee wa mkoa wa Dar es Salaam// Saudi Arabia yathibitisha kuendelea kwa mazungumzo na Iran// Marekani, China na Urusi, leo watajadili kuhusu ushirikiano katika mkutano wa baraza la usalama la Umoja wa mataifa//Ujerumani imefikia uamuzi wa kuachia chanjo ya Corona ya Astra Zeneca itumike kwa watu wazima.