1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

07.05.2021 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S7 Mei 2021

Chama tawala nchini Afrika Kusini, ANC kimemsimamisha kazi katibu wake mkuu Elias Ace Magashule kwa shutuma za ubadhirifu// Kwa mujibu wa taarifa ya shirika la afya duniani WHO, mpaka sasa watu waliopatiwa chanjo dhidi ya corona barani Afrika hawafiki hata asilimia mbili// Makubaliano ya kimataifa kimsingi ni suala la utata na hasa pale ambapo nchi mbili au tatu tu zinapohusika kwenye mazungumzo.

https://p.dw.com/p/3t5P0