Chama tawala nchini Afrika Kusini, ANC kimemsimamisha kazi katibu wake mkuu Elias Ace Magashule kwa shutuma za ubadhirifu// Kwa mujibu wa taarifa ya shirika la afya duniani WHO, mpaka sasa watu waliopatiwa chanjo dhidi ya corona barani Afrika hawafiki hata asilimia mbili// Makubaliano ya kimataifa kimsingi ni suala la utata na hasa pale ambapo nchi mbili au tatu tu zinapohusika kwenye mazungumzo.