Msafara wa mgombea urais wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, Chadema, Tundu Lissu umezuiliwa na jeshi la polisi waliokuwa na silaha// Rais wa Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo Felix TSHISEKEDI yuko ziarani mjini Goma// Ujerumani- Mawaziri wa mambo ya kigeni wa Israel na Umoja wa Falme za Kiarabu wametembelea leo kumbukumbu ya mauaji ya wayahudi Holocaust katikati ya Berlin.