Amani imepungua duniani> Mahojiano/ Maoni: Amani ya Ethiopia yavutwa / Myanmar: Makubaliano yamesainiwa baina ya serikali na mashirika ya Umoja wa Mataifa kuanza kurejea nyumbani kwa wakimbizi wa Rohingya wapatao 700,000. Watetezi wa haki za wakimbizi hao wanatilia shaka ikiwa makubaliano hayo yataondoa hofu ya wa Rohingya na kuwashawishi kurudi nyumbani/ Mwanaanga wa Ujerumani apaa anga za juu