Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amerejea nchini mwake jana usiku akitokea ziarani nchini Kenya// Marekani yakubali kuondolewa ulinzi wa hatimiliki ya chanjo za COVID// Mkutano wa G7 wamalizika kwa kukemea China, Urusi, Iran// Kiongozi wa upinzani Israel, Yair Lapid amepewa jukumu la kuunda serikali, baada ya Benjamin Netanyahu kushindwa.