Serikali ya Kenya imeutangaza mgomo wa wafanyakazi wa viwanja vya ndege nchini humo kuwa sio halali/ Mtandao wa wataalamu wa sheria kutoka mataifa ya Afrika ya Mashariki na nchi jirani wamekutana jijini Dar es Salaam kusaini hati ya makubaliano ya utendaji kazi/ Berlin: Maonesho makubwa duniani ya sekta ya utalii yamefungua pazia lake leo