Maelfu ya Wairan wamuaga kamanda Soleimani/ Iraq yataka wanajeshi wa Marekani waondoke nchini humo/ Hali ya kiusalama bado ni tete baada ya kundi la wanamgambo la al-Shabab kushambulia kambi ya kijeshi inayotumiwa na vikosi vya Marekani na Kenya / Umoja wa Mataifa kuijadili Libya/ Uganda: Polisi inaendelea kudhibiti wafuasi wa mwanasiasa na msanii Bobi Wine kwa kufyatua risasi angani