Tanzania- Rais Magufuli asema uchaguzi umekwisha na sasa ni wakati wa kutekeleza miradi ya maendeleo na amani// Ethiopia- Abi Ahmed ashinikizwa kusitisha operesheni ya kijeshi Tigray ili kuepusha vita vya wenyewe kwa wenyewe// Maoni- Uchaguzi wa Marekani unararua mishono ya misingi ya demokrasia ya kiliberali.