Tanzania: CHADEMA kimeanzisha mchakato wa kisheria wa kupinga mahakamani hatua ya Tume ya Uchaguzi nchini humo kumsimamisha mgombea wake wa urais siku 7 kushiriki kampeni kwa kilichoelezwa ukiukwaji wa maadili/ Nchini Kenya mihemko ya kisiasa inazidi kujitokeza/ Mji wa Paris kutangaza tahadhari ya juu dhidi ya COVID-19/ Unyanyasaji wasababisha wasichana kuacha kutumia mitandao ya kijamii