Spika wa DRC Alexis Thambwe Mwamba amewasilisha barua yake ya kujiuzulu// Geneva: Wajumbe wa pande hasimu kisiasa nchini Libya, wamefanikiwa kumchagua waziri mkuu na wajumbe watatu wa baraza la urais, ambao wataiongoza serikali ya mpito ya kitaifa kuelekea uchaguzi mkuu mwishoni mwa mwaka huu// Wasichana 700 waokolewa dhidi ya ukeketaji Tanzania.