Taliban imechukua udhibiti wa Afghanistan mwezi uliopita na sasa inapambana kuunda serikali mpya+++Kamati ya maadili ya CCM imewahoji wabunge watatu wa chama hicho,Josephat Gwajima,Jerry Silaa na Hamprey Polepole+++Msemaji wa jeshi la Uganda Brigedia Flavia Byekwaso amethibitisha kuwa wanamshikilia makamu wa chansela wa chuo kikuu cha Victoria kwa madai ya kulifanyia ujasusi taifa la kigeni.