Watu 9 wauawa katika shambulizi jingine la risasi Ohio Marekani baada ya mkasa mwengine kama huo kusababisha vifo vya watu 20 jana Texas.//
Iran imekamata meli ya kigeni ya mafuta katika ghuba ya Uajemi.//
Waandamanaji warejea tena barabarani Hong Kong licha ya onyo la polisi