Kenya na Tanzania zimetia sahihi mikataba kadhaa ikiwemo ya kibiashara// DR Congo- Maswali bado mengi kuhusu uamuzi wa rais wa Rais Felix Tschisekedi wa kuiweka mikoa miwili chini ya amri ya kijeshi// Bunge la Uganda limepitisha muswaada wa hatia za kingono baada ya mvutano uliodumu miaka mitatu hasa kati ya wabunge wanaume na wanawake.