1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

04.02.2020 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S4 Februari 2020

Kenya imeanza harakati za maziko ya kitaifa ya rais mstaafu Daniel Arap Moi aliefariki dunia mapema leo. Salam za rambi rambi zinamiminika kutoka sehemu tofauti za dunia. Tumepata nafasi ya kuzungumza na mmoja ya waliowahi kufaidi matunda ya sera za Arap Moi. Lakini pia wakati wa utawala wa Moi kulishuhudiwa baadhi ya Wakenya walioikosoa serikali na kumkosoa kiongozi huyo

https://p.dw.com/p/3XGBL