1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

03.06.2021 - Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S3 Juni 2021

Viongozi wa upinzani nchini Israel wametangaza kufikia makubalino ya kuunda serikali mpya ya mseto+++Wanadiplomasia wa Ulaya wamesema mazungumzo ya hivi karibuni juu ya mpango wa nyuklia wa Iran yamepiga hatua+++Mawaziri wa Afya wa kundi la mataifa tajiri la G7 wanakutana Alhamisi mjini Oxford kuzungumzia chanjo za COVID-19+++

https://p.dw.com/p/3uO7v