Wajumbe kutoka nchi takriban 200 wanajiandaa kukutana katika mkutano utakaojadili mabadiliko ya tabia nchini mjini Madrid nchini Uhispania/ Wabunge wa Kenya wagawika kuhusu utekelezaji wa ripoti ya BBI / Bunge la Iraq lakubali uamuzi wa kujiuzulu waziri mkuu Mehdi/ Trump agoma kuhudhuria kikao cha uchunguzi dhidi yake