Rais Tshisekedi amemteua Judith Suminwa Tuluka kuwa Waziri mkuu mpya wa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo+++Shirika la misaada la Seven World Central Kitchen (WCK) limesema linasitisha kazi zake katika Ukanda wa Gaza+++Mawaziri na maafisa kutoka nchi kadhaa wamekusanyika nchini Uholanzi kwa mkutano wa kurejesha haki nchini Ukraine.