Kiongozi wa jimbo la Tigray amemtaka Waziri Mkuu wa Ethiopia kuyaondoa majeshi yake kwenye jimbo hilo siku mbili baada ya Abiy kutangaza ushindi/ Pande zinazohasimiana nchini Libya zimeanza awamu mpya ya mazungumzo nchini Morocco/ Majimbo ya Wisconsin na Arizona nchini Marekani yamethibitisha ushindi wa Joe Biden dhidi ya Rais Donald Trump/ Leo ni Siku ya Ukimwi Duniani